Swali 25: Ni ipi hukumu ya mfungaji kufanya enema kwa sababu ya haja?
Jibu: Hukumu yake ni kwamba hakuna neno kufanya hivo iwapo mgonjwa atahitajia kufanya hivo kwa mujibu wa maoni sahihi zaidi ya wanachuoni. Hilo ndio chaguo la Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) na wanachuoni wengi ambao wanaonelea kuwa kitendo hicho hakifanani na kula na kunywa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdllaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: As-ilah Muhimmah tata´alaqah bisw-Swiyaam, uk. 29
- Imechapishwa: 08/05/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket