23- Imesihi ya kwamba Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Allaah aliugusa mgongo wa Aadam na akatoa kwenye mkono Wake wa kuume kila kizuri na akatoa kwenye mkono Wake mwingine kila kichafu.”[1]
[1] Jaami´-ul-Bayaan (13/227).
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 23
- Imechapishwa: 26/06/2019
23- Imesihi ya kwamba Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Allaah aliugusa mgongo wa Aadam na akatoa kwenye mkono Wake wa kuume kila kizuri na akatoa kwenye mkono Wake mwingine kila kichafu.”[1]
[1] Jaami´-ul-Bayaan (13/227).
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 23
Imechapishwa: 26/06/2019
https://firqatunnajia.com/23-maneno-ya-ibn-abbaas-kuhusu-mikono-ya-allaah/