21 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Wakati Allaah (´Azza wa Jall) alipohukumu viumbe aliandika katika kitabu Chake kilichoko Kwake juu ya ´Arshi: ”Hakika huruma Yangu inashinda ghadhabu Zangu.”[1]
Imekuja Katika tamko jengine:
“Allaah kabla hajaumba viumbe aliandika kitabu: “Hakika huruma Yangu inashinda ghadhabu Zangu.” Kiko Kwake juu ya ´Arshi.”
Imekuja Katika tamko jengine:
”Wakati Allaah alipoumba viumbe, aliandika kitabu juu yake Mwenyewe. Kimenyanyuliwa juu ya ´Arshi: “Hakika huruma Yangu inashinda ghadhabu Zangu.”[2]
[1] al-Bukhaariy (3194), Muslim (2751), Ahmad (2/466) na wengineo.
[2] Hadiyth ni Swahiyh. Baadhi ya matamshi yake yapo kwa al-Bukhaariy na Muslim. Tamko la mwisho liko kwa at-Tirmidhiy. Nimeitaja katika “as-Swahiyhah” (1629) na ”Dhwilaal-ul-Jannah fiy Takhriyj-is-Sunnah” (810-811).
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 92
- Imechapishwa: 12/04/2024
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
21 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Wakati Allaah (´Azza wa Jall) alipohukumu viumbe aliandika katika kitabu Chake kilichoko Kwake juu ya ´Arshi: ”Hakika huruma Yangu inashinda ghadhabu Zangu.”[1]
Imekuja Katika tamko jengine:
“Allaah kabla hajaumba viumbe aliandika kitabu: “Hakika huruma Yangu inashinda ghadhabu Zangu.” Kiko Kwake juu ya ´Arshi.”
Imekuja Katika tamko jengine:
”Wakati Allaah alipoumba viumbe, aliandika kitabu juu yake Mwenyewe. Kimenyanyuliwa juu ya ´Arshi: “Hakika huruma Yangu inashinda ghadhabu Zangu.”[2]
[1] al-Bukhaariy (3194), Muslim (2751), Ahmad (2/466) na wengineo.
[2] Hadiyth ni Swahiyh. Baadhi ya matamshi yake yapo kwa al-Bukhaariy na Muslim. Tamko la mwisho liko kwa at-Tirmidhiy. Nimeitaja katika “as-Swahiyhah” (1629) na ”Dhwilaal-ul-Jannah fiy Takhriyj-is-Sunnah” (810-811).
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 92
Imechapishwa: 12/04/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/23-kitabu-kilichoko-kwa-allaah-juu-ya-arshi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)