44 – al-Hasan bin Muhammad bin an-Nadhwr ametukhabarisha: Ismaa´iyl bin Yaziyd ametuhadithia: Sufyaan bin ´Uyaynah ametuhadithia, kutoka kwa ´Amr bin Diynaar al-Makkiy, kutoka kwa ´Amr bin Aws, kutoka kwa ´Abdullaah bin ´Amr ambaye ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Waadilifu watakuwa juu ya mimbari za nuru upande wa mkono wa kulia wa Mwingi wa huruma (´Azza wa Jall) na mikono Yake yote ni ya kuume; ni wale wanaofanya uadilifu katika hukumu zao, familia zao na yale wanayoyasimamia.”[1]
Hadiyth hii imethibiti kwa maafikiano.
[1] Muslim (1827).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Ishaaq bin Mandah (afk. 395)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah, uk. 73
- Imechapishwa: 16/06/2026
- Taaliki: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
44 – al-Hasan bin Muhammad bin an-Nadhwr ametukhabarisha: Ismaa´iyl bin Yaziyd ametuhadithia: Sufyaan bin ´Uyaynah ametuhadithia, kutoka kwa ´Amr bin Diynaar al-Makkiy, kutoka kwa ´Amr bin Aws, kutoka kwa ´Abdullaah bin ´Amr ambaye ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Waadilifu watakuwa juu ya mimbari za nuru upande wa mkono wa kulia wa Mwingi wa huruma (´Azza wa Jall) na mikono Yake yote ni ya kuume; ni wale wanaofanya uadilifu katika hukumu zao, familia zao na yale wanayoyasimamia.”[1]
Hadiyth hii imethibiti kwa maafikiano.
[1] Muslim (1827).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Ishaaq bin Mandah (afk. 395)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah, uk. 73
Imechapishwa: 16/06/2026
Taaliki: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
https://firqatunnajia.com/22-watakuwa-upande-wa-mkono-wa-kuume-wa-mola/