39 – Abu Nu´aym ametuhadithia: Sufyaan ametuhadithia, kutoka kwa Abu Hayyaan at-Taymiy, kutoka kwa Ibraahiym at-Taymiy, aliyesema:
”Sijapato kuyalinganisha maneno yangu na matendo yangu, isipokuwa nilichelea nisije kuwa mwenye kukadhibisha.”
40 – Aadam ametuhadithia: Shu´bah ametuhadithia, kutoka kwa ´Amr bin Diynaar, kutoka kwa Jaabir (Radhiya Allaahu ´anh), ambaye amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Anapokuja mmoja wenu na huku imamu anakhutubu, basi aswali Rak´ah mbili.”
Hayo ndio ambayo nami nasema:
Sufyaan bin ´Uyaynah amesema:
”Yule asiyejua na akajua kuwa yeye hajui, basi huyo kwa hakika ndiye mwanachuoni.”
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Ismaa´iyl al-Bukhaariy (a.f.k 256)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Birr-ul-Waalidayn, uk. 136-137
- Imechapishwa: 14/01/2025
39 – Abu Nu´aym ametuhadithia: Sufyaan ametuhadithia, kutoka kwa Abu Hayyaan at-Taymiy, kutoka kwa Ibraahiym at-Taymiy, aliyesema:
”Sijapato kuyalinganisha maneno yangu na matendo yangu, isipokuwa nilichelea nisije kuwa mwenye kukadhibisha.”
40 – Aadam ametuhadithia: Shu´bah ametuhadithia, kutoka kwa ´Amr bin Diynaar, kutoka kwa Jaabir (Radhiya Allaahu ´anh), ambaye amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Anapokuja mmoja wenu na huku imamu anakhutubu, basi aswali Rak´ah mbili.”
Hayo ndio ambayo nami nasema:
Sufyaan bin ´Uyaynah amesema:
”Yule asiyejua na akajua kuwa yeye hajui, basi huyo kwa hakika ndiye mwanachuoni.”
Muhusika: Imaam Muhammad bin Ismaa´iyl al-Bukhaariy (a.f.k 256)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Birr-ul-Waalidayn, uk. 136-137
Imechapishwa: 14/01/2025
https://firqatunnajia.com/22-unapoingia-msikitini-wakati-imamu-anatoa-khutbah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)