2 – Miongoni mwa maneno ya wanafunzi wa Maswahabah amesema kiongozi wa waumini ´Umar bin ´Abdil-´Aziyz ambaye amezaliwa mwaka wa 63 na amekufa mwaka wa 101. Maneno yake yamebeba ujumbe ufuatao:
1 – Ulazima wa kusimama pale waliposimama watu akiwa na maana ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Maswahabah zake katika ile dini waliyokuwemo kiimani na kimatendo. Kwa sababu walisimama kwa ujuzi na utambuzi. Endapo kungelikuwa kuna kheri katika yale yaliyozuliwa na wa baada yao basi wangelikuwa na haki zaidi.
2 – Yaliyozuliwa baada yao hakuna jingine ndani yake isipokuwa kwenda kinyume na uongofu wao na kuipa mgongo Sunnah yao. Vinginevyo wameeleza kuhusu dini yanayokidhi na wamezungumza juu yake yanatosheleza.
3 – Baadhi yao wamefanya upungufu katika kuwafuata na wakawa wenye kuzembea na wengine wakavuka mipaka waliyokuwemo wakawa wenye kupetuka mpaka. Njia ilionyooka ni ile iliyo kati ya kuchupa mpaka na kuzembea.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´aliyq mukhtaswar ´alaa Lum´at-il-I´tiqaad, uk. 43
- Imechapishwa: 14/10/2022
2 – Miongoni mwa maneno ya wanafunzi wa Maswahabah amesema kiongozi wa waumini ´Umar bin ´Abdil-´Aziyz ambaye amezaliwa mwaka wa 63 na amekufa mwaka wa 101. Maneno yake yamebeba ujumbe ufuatao:
1 – Ulazima wa kusimama pale waliposimama watu akiwa na maana ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Maswahabah zake katika ile dini waliyokuwemo kiimani na kimatendo. Kwa sababu walisimama kwa ujuzi na utambuzi. Endapo kungelikuwa kuna kheri katika yale yaliyozuliwa na wa baada yao basi wangelikuwa na haki zaidi.
2 – Yaliyozuliwa baada yao hakuna jingine ndani yake isipokuwa kwenda kinyume na uongofu wao na kuipa mgongo Sunnah yao. Vinginevyo wameeleza kuhusu dini yanayokidhi na wamezungumza juu yake yanatosheleza.
3 – Baadhi yao wamefanya upungufu katika kuwafuata na wakawa wenye kuzembea na wengine wakavuka mipaka waliyokuwemo wakawa wenye kupetuka mpaka. Njia ilionyooka ni ile iliyo kati ya kuchupa mpaka na kuzembea.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ta´aliyq mukhtaswar ´alaa Lum´at-il-I´tiqaad, uk. 43
Imechapishwa: 14/10/2022
https://firqatunnajia.com/22-umar-bin-abdil-aziyz-akihimiza-sunnah-na-akitahadharisha-bidah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)