3 – Kuogopa adhabu na hasira za Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) na mengine yote aliyowaandalia watenda madhambi huko Aakhirah kukiwemo minyororo, utwevu na adhabu kali na iumizayo – Allaah atulinde nazo kutokamana na fadhilah na ukarimu Wake.
Huko kabla tumetanguliza milango miwili; mlango wa kwanza ni mapendekezo ya kuhifadhi na kuzichunga haki za mume na mlango mwingine ni kuhusu matishio ya kuziangusha na kuzipoteza.
- Mhusika: Shaykh Muhammad Shuwmaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swifaat-uz-Zawjah as-Swaalihah, uk. 39-40
- Imechapishwa: 03/10/2022
3 – Kuogopa adhabu na hasira za Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) na mengine yote aliyowaandalia watenda madhambi huko Aakhirah kukiwemo minyororo, utwevu na adhabu kali na iumizayo – Allaah atulinde nazo kutokamana na fadhilah na ukarimu Wake.
Huko kabla tumetanguliza milango miwili; mlango wa kwanza ni mapendekezo ya kuhifadhi na kuzichunga haki za mume na mlango mwingine ni kuhusu matishio ya kuziangusha na kuzipoteza.
Mhusika: Shaykh Muhammad Shuwmaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifaat-uz-Zawjah as-Swaalihah, uk. 39-40
Imechapishwa: 03/10/2022
https://firqatunnajia.com/22-kitu-cha-tatu-kinachomsaidia-mwanamke-kuwa-mwema/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)