Ninavyoamini ni kwamba Salafiyyah alionayo al-Albaaniy ndio Salafiyyah ileile walionayo wanachuoni wa Saudi Arabia kama mfano wa Shaykh ´Abdul-´Aziyz bin Baaz, Ibn ´Uthaymiyn, al-Fawzaan, ´Abdul-´Aziyz Aalush-Shaykh na wengineo. Anaamini yale wanayoamini juu ya majina na sifa za Allaah, Qadar, kwamba Qur-aan ni maneno ya Allaah yaliyoteremshwa na haikuumbwa na I´tiqaad nyenginezo. Kama kuna tofauti ndogo basi ni katika mambo ya Ijtihaad. Ama katika ´Aqiydah, hakuna tofauti kati yake yeye na wao.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Fath ar-Rabbaaniy fiyd-Difaa´ ´an-ish-Shaykh Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy, uk. 44
- Imechapishwa: 03/12/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket