Hapa kunafuata baadhi ya hukumu za kuritadi zinazohusiana na Aakhirah:
1- Malaika wanamkemea na kumkataa na bali wanampiga uso na mgongo wake. Allaah (Ta´ala) amesema:
وَلَوْ تَرَىٰ إِذْ يَتَوَفَّى الَّذِينَ كَفَرُوا ۙ الْمَلَائِكَةُ يَضْرِبُونَ وُجُوهَهُمْ وَأَدْبَارَهُمْ وَذُوقُوا عَذَابَ الْحَرِيقِ ذَٰلِكَ بِمَا قَدَّمَتْ أَيْدِيكُمْ وَأَنَّ اللَّـهَ لَيْسَ بِظَلَّامٍ لِّلْعَبِيدِ
“Na lau ungeliona pale Malaika wanapowafisha wale waliokufuru wanawapiga nyuso zao na migongo yao [na huku wakiwaambia]: “Onjeni adhabu iunguzayo, hayo ni kwa yale yaliyotangulizwa na mikono yenu; na Allaah si Mwenye kuwadhulumu waja Wake.”[1]
[1] 08:50-51
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Hukm Taarik-is-Swalaah, uk. 22
- Marejeo: Firqatunnajia.com
- Imechapishwa: 22/10/2016
Hapa kunafuata baadhi ya hukumu za kuritadi zinazohusiana na Aakhirah:
1- Malaika wanamkemea na kumkataa na bali wanampiga uso na mgongo wake. Allaah (Ta´ala) amesema:
وَلَوْ تَرَىٰ إِذْ يَتَوَفَّى الَّذِينَ كَفَرُوا ۙ الْمَلَائِكَةُ يَضْرِبُونَ وُجُوهَهُمْ وَأَدْبَارَهُمْ وَذُوقُوا عَذَابَ الْحَرِيقِ ذَٰلِكَ بِمَا قَدَّمَتْ أَيْدِيكُمْ وَأَنَّ اللَّـهَ لَيْسَ بِظَلَّامٍ لِّلْعَبِيدِ
“Na lau ungeliona pale Malaika wanapowafisha wale waliokufuru wanawapiga nyuso zao na migongo yao [na huku wakiwaambia]: “Onjeni adhabu iunguzayo, hayo ni kwa yale yaliyotangulizwa na mikono yenu; na Allaah si Mwenye kuwadhulumu waja Wake.”[1]
[1] 08:50-51
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Hukm Taarik-is-Swalaah, uk. 22
Marejeo: Firqatunnajia.com
Imechapishwa: 22/10/2016
https://firqatunnajia.com/21-asiyeswali-anapewa-kipigo-kizito-wakati-wa-kufa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)