18- Imesihi kwamba Sa´iyd bin Hilaal amesema:
“Imenifikia kwamba kitu cha kwanza kilichoteremshwa kutoka kwa Allaah kwenda kwa Muusa ilikuwa ni: “Kwa jina la Allaah, Mwingi wa huruma, Mwenye kurehemu. Haya yameandikwa na Allaah kwa mkono Wake kwenye Ubao kwenda kwa mja Wake Muusa.”
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 21
- Imechapishwa: 25/06/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)