Swali 18: Ni ipi hukumu ya kumtia manukato maiti na kumvika sanda[1]?
Jibu: Kumtia manukato maiti na kumvika sanda ni jambo limependekezwa akiwa sio Muhrim.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/115).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 21
- Imechapishwa: 26/12/2021
Swali 18: Ni ipi hukumu ya kumtia manukato maiti na kumvika sanda[1]?
Jibu: Kumtia manukato maiti na kumvika sanda ni jambo limependekezwa akiwa sio Muhrim.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/115).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 21
Imechapishwa: 26/12/2021
https://firqatunnajia.com/18-ni-ipi-hukumu-ya-kumtia-manukato-maiti-na-kumvika-sanda/