Imaam Ibn Qudaamah (Rahimahu Allaah) amesema:
Hii ndio njia waliyopita Salaf na maimamu wa Khalaf (Radhiya Allaahu ´anhum). Wote wamekubaliana kutambua, kupitisha na kuthibitisha sifa zote zilizothibiti katika Kitabu cha Allaah na Sunnah za Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) pasi na kuziingilia kwa kuzipindisha maana.
MAELEZO
Mfumo waliopita Salaf kuhusu sifa za Allaah ni kutambua na kuthibitisha zile sifa za Allaah zilizotajwa ndani ya Kitabu Chake na Sunnah za Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) pasi na kuziingilia kwa kuzipindisha maana kwa mambo yasiyoafikiana na makusudio ya Allaah na Mtume Wake.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´aliyq mukhtaswar ´alaa Lum´at-il-I´tiqaad, uk. 39
- Imechapishwa: 14/10/2022
Imaam Ibn Qudaamah (Rahimahu Allaah) amesema:
Hii ndio njia waliyopita Salaf na maimamu wa Khalaf (Radhiya Allaahu ´anhum). Wote wamekubaliana kutambua, kupitisha na kuthibitisha sifa zote zilizothibiti katika Kitabu cha Allaah na Sunnah za Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) pasi na kuziingilia kwa kuzipindisha maana.
MAELEZO
Mfumo waliopita Salaf kuhusu sifa za Allaah ni kutambua na kuthibitisha zile sifa za Allaah zilizotajwa ndani ya Kitabu Chake na Sunnah za Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) pasi na kuziingilia kwa kuzipindisha maana kwa mambo yasiyoafikiana na makusudio ya Allaah na Mtume Wake.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ta´aliyq mukhtaswar ´alaa Lum´at-il-I´tiqaad, uk. 39
Imechapishwa: 14/10/2022
https://firqatunnajia.com/18-msimamo-wa-salaf-juu-ya-sifa-za-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)