82 – Abu Humayd, au Abu Usayd, amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
اللَّهُمَّ افْتَحْ لي أبْوابَ رَحْمَتِكَ
“Ee Allaah! Nifungulie milango ya rehema Zako.”
Na akitoka aseme:
اللَّهُمَّ إنِّي أسْأَلُكَ مِن فَضْلِكَ
“Ee Allaah! Hakika mimi nakuomba kutokana na fadhilah Zako.”[1]
MAELEZO
Katika Hadiyth hii kuna uwekwaji Shari´ah wa kusema Dhikr hii wakati wa kuingia msikitini na wakati wa kutoka msikitini. Hekima ya kusema Dhikr hii wakati wa kuingia na wakati wa kutoka msikitini: ni kwamba wakati wa kuingia msikitini anakuwa mwenye kuelekea kutekeleza ´ibaadah hii na kwa ajili hiyo ndio maana anamuomba Allaah kutokana na rehema Zake, na wakati wa kutoka anamuomba Allaah kutokana na fadhilah na riziki Zake.
[1] Muslim (713).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Ad´iyah wal-Adhkaar, uk. 86
- Imechapishwa: 27/10/2025
82 – Abu Humayd, au Abu Usayd, amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
اللَّهُمَّ افْتَحْ لي أبْوابَ رَحْمَتِكَ
“Ee Allaah! Nifungulie milango ya rehema Zako.”
Na akitoka aseme:
اللَّهُمَّ إنِّي أسْأَلُكَ مِن فَضْلِكَ
“Ee Allaah! Hakika mimi nakuomba kutokana na fadhilah Zako.”[1]
MAELEZO
Katika Hadiyth hii kuna uwekwaji Shari´ah wa kusema Dhikr hii wakati wa kuingia msikitini na wakati wa kutoka msikitini. Hekima ya kusema Dhikr hii wakati wa kuingia na wakati wa kutoka msikitini: ni kwamba wakati wa kuingia msikitini anakuwa mwenye kuelekea kutekeleza ´ibaadah hii na kwa ajili hiyo ndio maana anamuomba Allaah kutokana na rehema Zake, na wakati wa kutoka anamuomba Allaah kutokana na fadhilah na riziki Zake.
[1] Muslim (713).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Ad´iyah wal-Adhkaar, uk. 86
Imechapishwa: 27/10/2025
https://firqatunnajia.com/18-duaa-wakati-wa-kuingia-na-wakati-wa-kutoka-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
