Swali 175: Kuna mwanamme yeye na mke wake walipata ajali ya barabarani. Mke wake alikuwa na ujauzito wa miezi minane ambapo mwanamme akaaga dunia na mwanamke akanusurika. Baada ya kumfikisha hospitali madaktari wakaamua kumfanyia upasuaji ya kutoa kile kijusi. Alitolewa nje na alikuwa ni mtoto wa kike ambaye amefariki. Je, mwanamke huyu atatakiwa kukaa eda kama wengine[1]?
Jibu: Kujengea yale mliyoyataja eda ya mwanamke huyo mlengwa itakuwa imemalizika. Kipindi chake cha kumkalia eda mume na kuacha kujipamba kimemalizika kwa kule kujifungua. Allaah (Subhaanah) amesema:
وَأُولَاتُ الْأَحْمَالِ أَجَلُهُنَّ أَن يَضَعْنَ حَمْلَهُنَّ
“Na wenye mimba muda wao [wa eda] watakapozaa mimba zao.”[2]
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (22/221).
[2] 65:04
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 131-132
- Imechapishwa: 07/02/2022
Swali 175: Kuna mwanamme yeye na mke wake walipata ajali ya barabarani. Mke wake alikuwa na ujauzito wa miezi minane ambapo mwanamme akaaga dunia na mwanamke akanusurika. Baada ya kumfikisha hospitali madaktari wakaamua kumfanyia upasuaji ya kutoa kile kijusi. Alitolewa nje na alikuwa ni mtoto wa kike ambaye amefariki. Je, mwanamke huyu atatakiwa kukaa eda kama wengine[1]?
Jibu: Kujengea yale mliyoyataja eda ya mwanamke huyo mlengwa itakuwa imemalizika. Kipindi chake cha kumkalia eda mume na kuacha kujipamba kimemalizika kwa kule kujifungua. Allaah (Subhaanah) amesema:
وَأُولَاتُ الْأَحْمَالِ أَجَلُهُنَّ أَن يَضَعْنَ حَمْلَهُنَّ
“Na wenye mimba muda wao [wa eda] watakapozaa mimba zao.”[2]
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (22/221).
[2] 65:04
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 131-132
Imechapishwa: 07/02/2022
https://firqatunnajia.com/175-eda-ya-mwanamke-aliyezaa-kwa-upasuaji-baada-ya-mume-wake-kufariki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)