Swali 17: Ni ipi hukumu ya mwenye hedhi na mwenye damu ya uzazi kusoma Qur-aan kwa kutazamia na kwa hifdhi katika hali ya dharurah kama akiwa mwanafunzi au mwalimu?
Jibu: Hakuna ubaya kwa mwanamke mwenye hedhi na mwenye damu ya uzazi kusoma Qur-aan ikiwa kunatokana na haja. Kama mfano mwanamke ambaye ni mwalimu au mwanafunzi wa kike ambaye anarudilia masomo wakati wa usiku au mchana.
Kuhusu kusoma Qur-aan kwa minajili ya kutafuta ujira na thawabu bora ni yeye kutofanya hivo. Kwa sababu wanachuoni wengi wanaona kuwa haifai kwa mwenye hedhi kusoma Qur-aan.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 17
- Imechapishwa: 26/06/2021
Swali 17: Ni ipi hukumu ya mwenye hedhi na mwenye damu ya uzazi kusoma Qur-aan kwa kutazamia na kwa hifdhi katika hali ya dharurah kama akiwa mwanafunzi au mwalimu?
Jibu: Hakuna ubaya kwa mwanamke mwenye hedhi na mwenye damu ya uzazi kusoma Qur-aan ikiwa kunatokana na haja. Kama mfano mwanamke ambaye ni mwalimu au mwanafunzi wa kike ambaye anarudilia masomo wakati wa usiku au mchana.
Kuhusu kusoma Qur-aan kwa minajili ya kutafuta ujira na thawabu bora ni yeye kutofanya hivo. Kwa sababu wanachuoni wengi wanaona kuwa haifai kwa mwenye hedhi kusoma Qur-aan.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 17
Imechapishwa: 26/06/2021
https://firqatunnajia.com/17-katika-hali-hii-hakuna-neno-mwenye-hedhi-kusoma-qur-aan/