Swali 17: Je, kuvuta sigara na tumbaku kunaharibu swawm?
Jibu: Ndio. Kuvuta sigara na tubaku kunaharibu swawm. Kwa sababu kuvuta sigara na tubaku vyote viwili vinampatia mtu raha. Ni vibaya vilivoje!
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 33
- Imechapishwa: 12/06/2017
Swali 17: Je, kuvuta sigara na tumbaku kunaharibu swawm?
Jibu: Ndio. Kuvuta sigara na tubaku kunaharibu swawm. Kwa sababu kuvuta sigara na tubaku vyote viwili vinampatia mtu raha. Ni vibaya vilivoje!
Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 33
Imechapishwa: 12/06/2017
https://firqatunnajia.com/17-je-kuvuta-sigara-na-tubaku-kunaharibu-swawm/