17. Hadiyth “Kueneza vizuri wudhuu´ wakati wa machukizo… “

313 – ´Aliy bin Abiy Twaalib (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:

إسباغُ الوُضوء في المكارهِ، وإعمالُ الأقدامِ إلى المساجِد، وانتظارُ الصلاةِ بعد الصلاةِ؛ تَغسِلُ الخطايا غَسْلاً

“Kueneza vizuri wudhuu´ wakati wa machukizo, hatua nyingi kwenda misikitini na kusubiri swalah nyingine baada ya swalah kumalizika kunaosha makosa kikwelikweli.”[1]

Ameipokea Abu Ya´laa na al-Bazzaar kwa cheni ya wapokezi Swahiyh.

[1] Swahiyh.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/246)
  • Imechapishwa: 02/12/2022
  • taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy