Swali 16: Ni kipi cha kwanza kilichomteremkia (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika Qur-aan?
Jibu: Cha kwanza kilichomteremkia katika Qur-aan ilikuwa ni:
اقْرَأْ بِاسْمِ رَبِّكَ الَّذِي خَلَقَ خَلَقَ الْإِنسَانَ مِنْ عَلَقٍ اقْرَأْ وَرَبُّكَ الْأَكْرَمُ الَّذِي عَلَّمَ بِالْقَلَمِ عَلَّمَ الْإِنسَانَ مَا لَمْ يَعْلَمْ
Soma! Kwa jina la Mola wako aliyeumba – amemuumba mtu kutokana na pande la damu linaloning’inia! Soma na Mola wako ni Mkarimu kabisa. Ambaye aliyefunza kwa kalamu. Amemfunza mwanadamu yale asiyoyajua.”[1]
Kisha wahy ukakatika kwa kipindi fulani.
[1] 96:1-5
- Muhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 95
- Imechapishwa: 12/09/2023