Swali 15: Je, katika Hadiyth ya Ibn ´Abbaas[1] kuna dalili inayojulisha ulazima wa kutumia mkunazi?
Jibu: Ni kitu kilichowekwa katika Shari´ah. Wanazuoni wanaona kuwa imependekezwa. Kwa sababu inatakasa zaidi. Ikiwa haitokuwa wepesi mkunazi basi kufanywe badala yake sabuni au Ashnaan[2] au vinavyoweza kukaa mahala pake.
[1] Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume (Swalla ´alayhi wa sallam) amesema juu ya yule ambaye ameanguka kutoka katika kipando chake akafa:
”Muosheni kwa maji na mkunazi na mumkafini katika nguo zake.”
Kuna maafikiano juu ya usahihi wake. Kitaab-ul-Janaaiz kutoka katika ”Buluugh-ul-Maraam” Hadiyth nambari. 564.
[2] Tazama https://en.wikipedia.org/wiki/Saltwort
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 19
- Imechapishwa: 13/12/2021
Swali 15: Je, katika Hadiyth ya Ibn ´Abbaas[1] kuna dalili inayojulisha ulazima wa kutumia mkunazi?
Jibu: Ni kitu kilichowekwa katika Shari´ah. Wanazuoni wanaona kuwa imependekezwa. Kwa sababu inatakasa zaidi. Ikiwa haitokuwa wepesi mkunazi basi kufanywe badala yake sabuni au Ashnaan[2] au vinavyoweza kukaa mahala pake.
[1] Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume (Swalla ´alayhi wa sallam) amesema juu ya yule ambaye ameanguka kutoka katika kipando chake akafa:
”Muosheni kwa maji na mkunazi na mumkafini katika nguo zake.”
Kuna maafikiano juu ya usahihi wake. Kitaab-ul-Janaaiz kutoka katika ”Buluugh-ul-Maraam” Hadiyth nambari. 564.
[2] Tazama https://en.wikipedia.org/wiki/Saltwort
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 19
Imechapishwa: 13/12/2021
https://firqatunnajia.com/15-ni-lazima-wakati-wa-kumuosha-maiti-kutumia-mkunazi/