13 – Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Iogopeni du´aa ya mwenye kudhulumiwa; hakika hupanda kwa Allaah kana kwamba ni cheche.”[1]
Geni. Cheni ya wapokezi wake ni nzuri.
[1] Ameipokea al-Haakim na wengineo, kama nilivyolibainisha katika “Silsilat-ul-Ahaadiyth as-Swahiyhah” (869).
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 86
- Imechapishwa: 12/04/2024
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
13 – Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Iogopeni du´aa ya mwenye kudhulumiwa; hakika hupanda kwa Allaah kana kwamba ni cheche.”[1]
Geni. Cheni ya wapokezi wake ni nzuri.
[1] Ameipokea al-Haakim na wengineo, kama nilivyolibainisha katika “Silsilat-ul-Ahaadiyth as-Swahiyhah” (869).
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 86
Imechapishwa: 12/04/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/15-namna-hii-hupanda-kwa-allaah-duaa-aliyedhulumiwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)