Kushabibisha ni kumthibitishia Allaah anayeshabihiana Naye katika zile haki au sifa ambazo ni maalum Kwake. Huu ni ukafiri. Kwa sababu ni katika kumshirikisha Allaah. Aidha kumekusanya kutia upungufu katika haki ya Allaah kwa vile amemshabihisha na viumbe ambao ni wapungufu.
Kufananisha ni kumthibitishia Allaah anayefanana Naye katika zile haki na sifa ambazo ni maalum Kwake. Ni ukafiri. Kwa sababu ni katika na kumkadhibisha na kumshirikisha Allaah. Amesema (Ta´ala):
لَيْسَ كَمِثْلِهِ شَيْءٌ ۖ وَهُوَ السَّمِيعُ الْبَصِيرُ
”Hakuna chochote kinachofanana Naye – Naye ni Mwenye kusikia, Mwenye kuona.”[1]
Aidha kumekusanya kutia upungufu katika haki ya Allaah kwa vile amemshabihisha na viumbe ambao ni wapungufu.
Tofauti kati ya kushabibisha na kufananisha ni kwamba kufananisha kunapelekea kulinganisha katika kila njia tofauti na kushabihisha.
[1] 42:11
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´aliyq mukhtaswar ´alaa Lum´at-il-I´tiqaad, uk. 34
- Imechapishwa: 13/10/2022
Kushabibisha ni kumthibitishia Allaah anayeshabihiana Naye katika zile haki au sifa ambazo ni maalum Kwake. Huu ni ukafiri. Kwa sababu ni katika kumshirikisha Allaah. Aidha kumekusanya kutia upungufu katika haki ya Allaah kwa vile amemshabihisha na viumbe ambao ni wapungufu.
Kufananisha ni kumthibitishia Allaah anayefanana Naye katika zile haki na sifa ambazo ni maalum Kwake. Ni ukafiri. Kwa sababu ni katika na kumkadhibisha na kumshirikisha Allaah. Amesema (Ta´ala):
لَيْسَ كَمِثْلِهِ شَيْءٌ ۖ وَهُوَ السَّمِيعُ الْبَصِيرُ
”Hakuna chochote kinachofanana Naye – Naye ni Mwenye kusikia, Mwenye kuona.”[1]
Aidha kumekusanya kutia upungufu katika haki ya Allaah kwa vile amemshabihisha na viumbe ambao ni wapungufu.
Tofauti kati ya kushabibisha na kufananisha ni kwamba kufananisha kunapelekea kulinganisha katika kila njia tofauti na kushabihisha.
[1] 42:11
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ta´aliyq mukhtaswar ´alaa Lum´at-il-I´tiqaad, uk. 34
Imechapishwa: 13/10/2022
https://firqatunnajia.com/15-maana-na-hukumu-ya-kushabihisha-na-kufananisha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)