Swali 148: Wafiwa wa maiti wakitumiwa na watu chakula cha mchana au chakula cha jioni ambapo watu wakakusanyika juu yake nyumbani kwa maiti. Je, ni katika maombolezo yaliyoharamishwa?
Jibu: Hayo sio maombolezo. Kwa sababu hawakukitengeneza wao, bali wametengenezewa nacho. Ni sawa wakawaita wataokula pamoja nao katika kile chakula walichoagiziwa. Kwa sababu kinaweza kuwa kingi kinachozidi juu ya mahitaji yao.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 107-108
- Imechapishwa: 22/01/2022
Swali 148: Wafiwa wa maiti wakitumiwa na watu chakula cha mchana au chakula cha jioni ambapo watu wakakusanyika juu yake nyumbani kwa maiti. Je, ni katika maombolezo yaliyoharamishwa?
Jibu: Hayo sio maombolezo. Kwa sababu hawakukitengeneza wao, bali wametengenezewa nacho. Ni sawa wakawaita wataokula pamoja nao katika kile chakula walichoagiziwa. Kwa sababu kinaweza kuwa kingi kinachozidi juu ya mahitaji yao.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 107-108
Imechapishwa: 22/01/2022
https://firqatunnajia.com/148-wafiwa-kuwaalika-wageni-kula-pamoja-nao/