Swali 148: Wafiwa wa maiti wakitumiwa na watu chakula cha mchana au chakula cha jioni ambapo watu wakakusanyika juu yake nyumbani kwa maiti. Je, ni katika maombolezo yaliyoharamishwa?
Jibu: Hayo sio maombolezo. Kwa sababu hawakukitengeneza wao, bali wametengenezewa nacho. Ni sawa wakawaita wataokula pamoja nao katika kile chakula walichoagiziwa. Kwa sababu kinaweza kuwa kingi kinachozidi juu ya mahitaji yao.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 107-108
- Imechapishwa: 22/01/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket