42 – al-Khaliyl bin Ahmad (a.f.k >160), kiongozi wa lugha ya kiarabu.
Muhammad bin al-Husayn amesema: al-Mu´aafaa bin Zakariyyaa ametuzindua: Muhammad bin Abiyl-Azhar ametuhadithia: az-Zubayr bin Bakkaar ametuhadithia: an-Nadhwr bin Shumayl ametuhadithia: al-Khaliyl bin Ahmad amenihadithia:
“Nilimwendea Abu Rabi’ah al-Araabiy, ambaye alikuwa ni miongoni mwa watu wajuzi zaidi ninayemjua, alipokuwa juu ya paa lake. Alipotuona alitusalimia kwa ishara na akasema: “Inukeni (استووا).” Hatukujua alimaanisha nini, ambapo mzee aliyekuwa naye akasema: “Anakuambia muinuke.” al-Khaliyl amesema: ”Hiyo ndio asili ya maneno Yake (Ta´ala):
ثُمَّ اسْتَوَىٰ إِلَى السَّمَاءِ وَهِيَ دُخَانٌ
”Kisha akalingana juu ya mbingu iliali ni moshi… ”[1][2]
Kwa maana ya kwamba akawa juu na kuinuka.”
190 – Muhammad bin al-Jahm amesema: Yahyaa bin Ziyaad bin al-Farraa’ amesema:
”Wakati wa Aayah:
ثُمَّ اسْتَوَىٰ إِلَى السَّمَاءِ وَهِيَ دُخَانٌ
”Kisha akalingana juu ya mbingu iliali ni moshi… ”
Ibn ´Abbaas alisema: ”Akapanda.” Ni kama unaposema kumwambia mtu: ”Alikuwa ameketi chini, kisha aka اسْتَوَى na kusimama.” Yote hayo ni sahihi kwa mujibu wa kiarabu.”
Ameipoke al-Bayhaqiy[3].
[1] 41:11
[2] Mtunzi amesema: ”Ahmad bin Abiyl-Khayr ametuzindua, kutoka kwa Yahyaa bin Buush: Abul-Mu´izz bin Kaadish ametukhabarisha: Muhammad bin al-Husayn ametuhadithia…
Simjui huyu Muhammad bin Abiyl-Azhar, Muhammad bin al-Husayn wala Yahyaa bin Buush. Ahmad bin Abiyl-Khayr anaitwa Abul- ´Abbaas Ahmad bin Abiyl-Khayr Salaamah bin Ibraahiym ad-Dimashqiy al-Haddaad, kama ilivyotajwa katika “Mu´jam-ul-Muswannaf al-Latwiyf” (2/204). Kwa mujibu wa wasifu wake katika “ash-Shadhaaraat”, alifariki mwaka wa 678.
[3] al-Asmaa’ was-Swifaat (2/310).
Cheni ya wapokezi kwenda hadi kwa al-Farraa’ haina neno. Haafidhw Ibn Hajar aliandika wasifu wa Muhammad bin al-Jahm bin Haaruun as-Simmariy al-Baswriy na akasimulia wenye kuhifadhi kadhaa madhubuti kutoka kwake na kusema:
”Sijui kujeruhiwa kwake.” (Lisaan-ul-Miyzaan)
Kwa mujibu wa adh-Dhahabiy katika “al-Mushtabih” kwamba alikuwa ”mwenye kutambulika”.
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-´Uluww lil-´Aliy al-Ghaffaar, uk. 160
- Imechapishwa: 07/01/2025
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
42 – al-Khaliyl bin Ahmad (a.f.k >160), kiongozi wa lugha ya kiarabu.
Muhammad bin al-Husayn amesema: al-Mu´aafaa bin Zakariyyaa ametuzindua: Muhammad bin Abiyl-Azhar ametuhadithia: az-Zubayr bin Bakkaar ametuhadithia: an-Nadhwr bin Shumayl ametuhadithia: al-Khaliyl bin Ahmad amenihadithia:
“Nilimwendea Abu Rabi’ah al-Araabiy, ambaye alikuwa ni miongoni mwa watu wajuzi zaidi ninayemjua, alipokuwa juu ya paa lake. Alipotuona alitusalimia kwa ishara na akasema: “Inukeni (استووا).” Hatukujua alimaanisha nini, ambapo mzee aliyekuwa naye akasema: “Anakuambia muinuke.” al-Khaliyl amesema: ”Hiyo ndio asili ya maneno Yake (Ta´ala):
ثُمَّ اسْتَوَىٰ إِلَى السَّمَاءِ وَهِيَ دُخَانٌ
”Kisha akalingana juu ya mbingu iliali ni moshi… ”[1][2]
Kwa maana ya kwamba akawa juu na kuinuka.”
190 – Muhammad bin al-Jahm amesema: Yahyaa bin Ziyaad bin al-Farraa’ amesema:
”Wakati wa Aayah:
ثُمَّ اسْتَوَىٰ إِلَى السَّمَاءِ وَهِيَ دُخَانٌ
”Kisha akalingana juu ya mbingu iliali ni moshi… ”
Ibn ´Abbaas alisema: ”Akapanda.” Ni kama unaposema kumwambia mtu: ”Alikuwa ameketi chini, kisha aka اسْتَوَى na kusimama.” Yote hayo ni sahihi kwa mujibu wa kiarabu.”
Ameipoke al-Bayhaqiy[3].
[1] 41:11
[2] Mtunzi amesema: ”Ahmad bin Abiyl-Khayr ametuzindua, kutoka kwa Yahyaa bin Buush: Abul-Mu´izz bin Kaadish ametukhabarisha: Muhammad bin al-Husayn ametuhadithia…
Simjui huyu Muhammad bin Abiyl-Azhar, Muhammad bin al-Husayn wala Yahyaa bin Buush. Ahmad bin Abiyl-Khayr anaitwa Abul- ´Abbaas Ahmad bin Abiyl-Khayr Salaamah bin Ibraahiym ad-Dimashqiy al-Haddaad, kama ilivyotajwa katika “Mu´jam-ul-Muswannaf al-Latwiyf” (2/204). Kwa mujibu wa wasifu wake katika “ash-Shadhaaraat”, alifariki mwaka wa 678.
[3] al-Asmaa’ was-Swifaat (2/310).
Cheni ya wapokezi kwenda hadi kwa al-Farraa’ haina neno. Haafidhw Ibn Hajar aliandika wasifu wa Muhammad bin al-Jahm bin Haaruun as-Simmariy al-Baswriy na akasimulia wenye kuhifadhi kadhaa madhubuti kutoka kwake na kusema:
”Sijui kujeruhiwa kwake.” (Lisaan-ul-Miyzaan)
Kwa mujibu wa adh-Dhahabiy katika “al-Mushtabih” kwamba alikuwa ”mwenye kutambulika”.
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-´Uluww lil-´Aliy al-Ghaffaar, uk. 160
Imechapishwa: 07/01/2025
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/141-sahihi-kwa-mujibu-wa-kiarabu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)