40 – Wahb bin Jariyr (a.f.k 206), mmoa katika maimamu wa Baswrah.
188 – Muhammad bin Hammaad amesimulia ya kwamba amemsikia Wahb bin Jariyr akisema:
”Jihadharini na maoni ya Jahm. Kwani wanachojaribu ni kusema kwamba hakuna kitu chochote juu ya mbingu. Hakika hapana vyenginevyo isipokuwa ni wahy kutoka kwa shaytwaan, si vyenginevyo isipokuwa ni ukafiri.”[1]
41 – al-Asma´iy, mwanachuoni wa zama zake.
189 – Tumefikiwa na khabari kwamba mke wa Jahm amesema:
“Mke wa Jahm alifika wakati bwana mmoja alipomwambia kuwa Allaah yuko juu ya ´Arshi. Ndipo akasema: “Aliyefupika juu ya kilichofupika?” al-Asmaa´iy akasema: “Mwanamke huyu amekufuru kutokana na matamshi haya.”
[1] Masimulizi haya yamesahihishwa na Ibn-ul-Qayyim katika “Ijtimaa´-ul-Juyuush al-Islaamiyyah”, uk. 85, ambaye amesema kwamba ”Haafidhw Muhammad bin ´Uthmaan ameisahihisha katika kijitabu chake cha ´Aqiydah.
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-´Uluww lil-´Aliy al-Ghaffaar, uk. 159
- Imechapishwa: 07/01/2025
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
40 – Wahb bin Jariyr (a.f.k 206), mmoa katika maimamu wa Baswrah.
188 – Muhammad bin Hammaad amesimulia ya kwamba amemsikia Wahb bin Jariyr akisema:
”Jihadharini na maoni ya Jahm. Kwani wanachojaribu ni kusema kwamba hakuna kitu chochote juu ya mbingu. Hakika hapana vyenginevyo isipokuwa ni wahy kutoka kwa shaytwaan, si vyenginevyo isipokuwa ni ukafiri.”[1]
41 – al-Asma´iy, mwanachuoni wa zama zake.
189 – Tumefikiwa na khabari kwamba mke wa Jahm amesema:
“Mke wa Jahm alifika wakati bwana mmoja alipomwambia kuwa Allaah yuko juu ya ´Arshi. Ndipo akasema: “Aliyefupika juu ya kilichofupika?” al-Asmaa´iy akasema: “Mwanamke huyu amekufuru kutokana na matamshi haya.”
[1] Masimulizi haya yamesahihishwa na Ibn-ul-Qayyim katika “Ijtimaa´-ul-Juyuush al-Islaamiyyah”, uk. 85, ambaye amesema kwamba ”Haafidhw Muhammad bin ´Uthmaan ameisahihisha katika kijitabu chake cha ´Aqiydah.
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-´Uluww lil-´Aliy al-Ghaffaar, uk. 159
Imechapishwa: 07/01/2025
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/140-wahy-kutoka-kwa-shaytwaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)