Swali 14: Ni ipi hukumu ya kufunga Ramadhaan na wakati huohuo mtu haswali?
Jibu: Ambaye anafunga na haswali haimfai kitu swawm yake, haikubaliwi kutoka kwake na haitakisiki dhimma yake. Bali hahitajii kufanya hivo muda wa kuwa haswali. Kwa sababu ambaye haswali ni kama mfano wa myahudi na mnaswara. Mnaonaje endapo myahudi au mnaswara atafunga na bado yuko katika dini yake atakubaliwa? Hapana. Kwa hivyo tunamwambia mtu huyu atubu kwa Allaah na aanze kuswali na kufunga. Allaah anamsamehe mwenye kutubu.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 48 mas-alatu fiy Swiyaam, uk. 17
- Imechapishwa: 15/04/2021
Swali 14: Ni ipi hukumu ya kufunga Ramadhaan na wakati huohuo mtu haswali?
Jibu: Ambaye anafunga na haswali haimfai kitu swawm yake, haikubaliwi kutoka kwake na haitakisiki dhimma yake. Bali hahitajii kufanya hivo muda wa kuwa haswali. Kwa sababu ambaye haswali ni kama mfano wa myahudi na mnaswara. Mnaonaje endapo myahudi au mnaswara atafunga na bado yuko katika dini yake atakubaliwa? Hapana. Kwa hivyo tunamwambia mtu huyu atubu kwa Allaah na aanze kuswali na kufunga. Allaah anamsamehe mwenye kutubu.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: 48 mas-alatu fiy Swiyaam, uk. 17
Imechapishwa: 15/04/2021
https://firqatunnajia.com/14-ambaye-haswali-ni-kama-mfano-wa-myahudi-na-mnaswara/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)