Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah amesema:
Allaah amuwie radhi Imaam Maalik bin Anas ambaye amesema:
“Kila atapotujilia mtu ambaye ni bingwa wa kubishana kuliko mwingine tuyaache yale aliyokuja nayo Jibriyl kwa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?”[1]
MAELEZO
Huyu ni Imaam Maalik bin Anas (Rahimahu Allaah), imamu wa mji wa Uhamiaji ambaye watu walikuwa wakisafiri kwenda kwake kwa ajili ya kuchukua elimu yake, amesema:
“Kila atapotujilia mtu ambaye ni bingwa wa kubishana kuliko mwingine tuyaache yale aliyokuja nayo Jibriyl kwa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?”
Kwa maana kwamba mwenye ubishi mwingi zaidi. Hivyo anakemea kutegemea akili, kwa sababu watu wa akili hutegemea mabishano mbalimbali. Kama Alivyosema (Ta´ala):
إِنَّكُمْ لَفِي قَوْلٍ مُّخْتَلِفٍ يُؤْفَكُ عَنْهُ مَنْ أُفِكَ قُتِلَ الْخَرَّاصُونَ
”Hakika nyinyi bila shaka mko katika kauli inayokhitilafiana. Anageuzwa kutokana na haki mwenye kugeuzwa. Wameangamia wenye kubuni uwongo.”[2]
[1] Tabwaqaat-ul-Hanaabilah (2/156).
[2] 51:8-10
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat at-Tawdhwiyhiyyah ´alaa Muqaddimat-il-Fatwaa al-Hamawiyyah, uk. 225-226
- Imechapishwa: 15/07/2026
Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah amesema:
Allaah amuwie radhi Imaam Maalik bin Anas ambaye amesema:
“Kila atapotujilia mtu ambaye ni bingwa wa kubishana kuliko mwingine tuyaache yale aliyokuja nayo Jibriyl kwa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?”[1]
MAELEZO
Huyu ni Imaam Maalik bin Anas (Rahimahu Allaah), imamu wa mji wa Uhamiaji ambaye watu walikuwa wakisafiri kwenda kwake kwa ajili ya kuchukua elimu yake, amesema:
“Kila atapotujilia mtu ambaye ni bingwa wa kubishana kuliko mwingine tuyaache yale aliyokuja nayo Jibriyl kwa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?”
Kwa maana kwamba mwenye ubishi mwingi zaidi. Hivyo anakemea kutegemea akili, kwa sababu watu wa akili hutegemea mabishano mbalimbali. Kama Alivyosema (Ta´ala):
إِنَّكُمْ لَفِي قَوْلٍ مُّخْتَلِفٍ يُؤْفَكُ عَنْهُ مَنْ أُفِكَ قُتِلَ الْخَرَّاصُونَ
”Hakika nyinyi bila shaka mko katika kauli inayokhitilafiana. Anageuzwa kutokana na haki mwenye kugeuzwa. Wameangamia wenye kubuni uwongo.”[2]
[1] Tabwaqaat-ul-Hanaabilah (2/156).
[2] 51:8-10
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Ta´liyqaat at-Tawdhwiyhiyyah ´alaa Muqaddimat-il-Fatwaa al-Hamawiyyah, uk. 225-226
Imechapishwa: 15/07/2026
https://firqatunnajia.com/137-watu-wa-akili-hutegemea-mabishano/