Imepokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kwamba kutoa jina kunapitika katika nyakati tatu:
1- Mtoto anapewa jina siku ile ile anayozaliwa.
2- Zile siku tatu za kwanza baada ya kuzaliwa.
3- Siku ya saba baada ya kuzaliwa.
Tofauti hii ina maana ya kwamba yote ni sawa na himdi zote zinamstahikia Allaah, Mola wa walimwengu.
- Muhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 14
- Imechapishwa: 18/03/2017
Imepokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kwamba kutoa jina kunapitika katika nyakati tatu:
1- Mtoto anapewa jina siku ile ile anayozaliwa.
2- Zile siku tatu za kwanza baada ya kuzaliwa.
3- Siku ya saba baada ya kuzaliwa.
Tofauti hii ina maana ya kwamba yote ni sawa na himdi zote zinamstahikia Allaah, Mola wa walimwengu.
Muhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 14
Imechapishwa: 18/03/2017
https://firqatunnajia.com/13-nyakati-za-kumpa-mtoto-jina/