245 – Anas (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimsikia bwana mmoja safarini mwake akisema:
الله أَكْبَرُ اللهُ أَكْبرُ
“Allaahu ni mkubwa, Allaahu ni mkubwa.”
Akasema: “Kutokana na maumbile.” Kisha bwana yule akasema:
أَشْهَدُ أَنْ لا إِله إِلا الله
“Nashuhudia ya kwamba hapana mungu wa kweli isipokuwa Allaah.”
Akasema: “Ametoka Motoni.” Watu wakamkimbilia bwana yule ambapo wakaona kuwa ni mchungaji wa kondoo ambaye ameona kuwa wakati wa swalah umekwishaingia na ndipo akaadhini.”[1]
Ameipokea Ibn Khuzaymah katika “as-Swahiyh” yake. Muslim amepokea mfano wake.
[1] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/217)
- Imechapishwa: 01/03/2022
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
245 – Anas (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimsikia bwana mmoja safarini mwake akisema:
الله أَكْبَرُ اللهُ أَكْبرُ
“Allaahu ni mkubwa, Allaahu ni mkubwa.”
Akasema: “Kutokana na maumbile.” Kisha bwana yule akasema:
أَشْهَدُ أَنْ لا إِله إِلا الله
“Nashuhudia ya kwamba hapana mungu wa kweli isipokuwa Allaah.”
Akasema: “Ametoka Motoni.” Watu wakamkimbilia bwana yule ambapo wakaona kuwa ni mchungaji wa kondoo ambaye ameona kuwa wakati wa swalah umekwishaingia na ndipo akaadhini.”[1]
Ameipokea Ibn Khuzaymah katika “as-Swahiyh” yake. Muslim amepokea mfano wake.
[1] Swahiyh.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/217)
Imechapishwa: 01/03/2022
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/13-hadiyth-mtume-swalla-allaahu-alayhi-wa-sallam-alimsikia-bwana-mmoja/