12- ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika swadaqah inaanguka mkononi mwa Allaah (´Azza wa Jall) kabla ya kuanguka mikononi mwa yule mpokeaji.”
Hii ni Swahiyh.
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 19-20
- Imechapishwa: 19/06/2019
12- ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika swadaqah inaanguka mkononi mwa Allaah (´Azza wa Jall) kabla ya kuanguka mikononi mwa yule mpokeaji.”
Hii ni Swahiyh.
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 19-20
Imechapishwa: 19/06/2019
https://firqatunnajia.com/13-dalili-ya-kumi-na-moja-kutoka-katika-sunnah-juu-ya-mikono-ya-allaah/