13- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah aliandika kitabu kwa mkono Wake na akakiweka Kwake juu ya ´Arshi: hakika rehema Yangu inashinda ghadhabu Zangu.”[1]
Hadiyth ni Swahiyh.
[1] al-Bukhaariy (3194) na Muslim (2107).
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 19
- Imechapishwa: 19/06/2019
13- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah aliandika kitabu kwa mkono Wake na akakiweka Kwake juu ya ´Arshi: hakika rehema Yangu inashinda ghadhabu Zangu.”[1]
Hadiyth ni Swahiyh.
[1] al-Bukhaariy (3194) na Muslim (2107).
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 19
Imechapishwa: 19/06/2019
https://firqatunnajia.com/14-dalili-ya-kumi-na-mbili-kutoka-katika-sunnah-juu-ya-mikono-ya-allaah/