Hajj
1 – ´Umar bin al-Khattwaab (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
”Washirikina walikuwa hawaondoki kwenye Mkusanyiko[1] mpaka jua lichomoze juu ya Thubiyr[2]. Walikuwa wakisema: ”Koma, ee Thubiyr, ili tuweze kuondoka zetu.” Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akajitofautisha nao na akaondoka kabla ya jua kuchomoza.”[3]
[1] Bi maana Muzdalifah. Imesemekana kuwa imeitwa Mkusanyiko kwa sababu Aadaam na Hawwaa (´alayhimaas-Salaam) wakati walipoteremshwa kutoka mbinguni walikusanyika hapo.
[2] Mlima karibu na Makkah.
[3] al-Bukhaariy, Abu Daawuud, an-Nasaa’iy, at-Tirmidhiy, ad-Daarimiy, Ibn Maajah, al-Bayhaqiy na Ahmad. at-Tirmdhiy amesema:
”Hadiyth ni nzuri na Swahiyh.”
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Jilbaab-ul-Mar-ah al-Muslimah, uk. 179-180
- Imechapishwa: 08/11/2023
Hajj
1 – ´Umar bin al-Khattwaab (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
”Washirikina walikuwa hawaondoki kwenye Mkusanyiko[1] mpaka jua lichomoze juu ya Thubiyr[2]. Walikuwa wakisema: ”Koma, ee Thubiyr, ili tuweze kuondoka zetu.” Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akajitofautisha nao na akaondoka kabla ya jua kuchomoza.”[3]
[1] Bi maana Muzdalifah. Imesemekana kuwa imeitwa Mkusanyiko kwa sababu Aadaam na Hawwaa (´alayhimaas-Salaam) wakati walipoteremshwa kutoka mbinguni walikusanyika hapo.
[2] Mlima karibu na Makkah.
[3] al-Bukhaariy, Abu Daawuud, an-Nasaa’iy, at-Tirmidhiy, ad-Daarimiy, Ibn Maajah, al-Bayhaqiy na Ahmad. at-Tirmdhiy amesema:
”Hadiyth ni nzuri na Swahiyh.”
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Jilbaab-ul-Mar-ah al-Muslimah, uk. 179-180
Imechapishwa: 08/11/2023
https://firqatunnajia.com/124-ndio-maana-mtume-alikuwa-akiondoka-muzdalifah-kabla-ya-jua-kuchomoza/