2 – Wanawake wanashiriki na wanaume katika sababu iliowekwa katika Shari´ah ambayo kwa ajili yake ndio ikasuniwa kuyatembelea makaburi:
”… kwani yanalainisha mioyo, kufanya macho kutokwa na machozi na kuwakumbusheni Aakhirah.”
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz wa Bid´ahaa, uk. 229
- Imechapishwa: 04/08/2026
2 – Wanawake wanashiriki na wanaume katika sababu iliowekwa katika Shari´ah ambayo kwa ajili yake ndio ikasuniwa kuyatembelea makaburi:
”… kwani yanalainisha mioyo, kufanya macho kutokwa na machozi na kuwakumbusheni Aakhirah.”
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz wa Bid´ahaa, uk. 229
Imechapishwa: 04/08/2026
https://firqatunnajia.com/121-dalili-ya-pili-kufaa-kwa-mwanamke-kuyatembelea-makaburi/