6 – Ajionyeshe kwa mume wake kwa hali nzuri zaidi kwa njia ya kwamba pale anapomtazama basi anamfurahisha. Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu anh) ameeleza: “Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliulizwa: “Ni mwanamke yupi bora?” Akasema:
“Ni yule ambaye anamfurahisha [mume] anapomtazama, anamtii anapomwamrisha, hapingani naye katika nafsi yake na mali yake kwa yanayomchukiza.”[1]
[1] an-Nasaa´iy (06/67), al-Haakim (02/61), Ahmad (02/251, 432, 437). al-Haakim amesema:
“Swahiyh juu ya sharti za Muslim.” ambapo adh-Dhahabiy akaafikiana naye. al-´Iraaqiy amesahihisha cheni ya wapokezi wake katika “Takhriyj-ul-Ihyaa´” (02/39). Ni nzuri kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “as-Swahiyhah” (04/453).
- Mhusika: Shaykh Muhammad Shuwmaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swifaat-uz-Zawjah as-Swaalihah, uk. 29
- Imechapishwa: 27/09/2022
6 – Ajionyeshe kwa mume wake kwa hali nzuri zaidi kwa njia ya kwamba pale anapomtazama basi anamfurahisha. Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu anh) ameeleza: “Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliulizwa: “Ni mwanamke yupi bora?” Akasema:
“Ni yule ambaye anamfurahisha [mume] anapomtazama, anamtii anapomwamrisha, hapingani naye katika nafsi yake na mali yake kwa yanayomchukiza.”[1]
[1] an-Nasaa´iy (06/67), al-Haakim (02/61), Ahmad (02/251, 432, 437). al-Haakim amesema:
“Swahiyh juu ya sharti za Muslim.” ambapo adh-Dhahabiy akaafikiana naye. al-´Iraaqiy amesahihisha cheni ya wapokezi wake katika “Takhriyj-ul-Ihyaa´” (02/39). Ni nzuri kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “as-Swahiyhah” (04/453).
Mhusika: Shaykh Muhammad Shuwmaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifaat-uz-Zawjah as-Swaalihah, uk. 29
Imechapishwa: 27/09/2022
https://firqatunnajia.com/12-mke-mwema-daima-anakuwa-katika-muonekana-mzuri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)