Kuhusu mtu aliyechemua ndani ya swalah. Kisa hicho kimesimuliwa na Mu´aawiyah bin al-Hakam (Radhiya Allaahu ´anh) ambapo kuna mtu alijiunga na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika swalah ambapo akapiga chafya na kusema:
الحمد لله
“Hidmi zote anastahiki Allaah.”
Mu´aawiyah akamwambia:
يرحمك الله
“Allaah akurehemu.”
Watu wakamkazia macho wakiwa ni wenye kumkemea kwa maneno yake. Akasema: “Mna nini mbona mnanitazama namna hiyo?” Wakaanza kupiga mapaja yao. Nilipoona hivo nikanyamaza. Wakati Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipomaliza kuswali akanielekea na kunikaribia na sijawahi kuona hapo kabla wala baada mafunzo yaliyo mazuri kabisa kuliko yake. Ninaapa kwa Allaah! Hakunilazimisha, hakunipiga wala hakunambia vibaya. Alisema: “Hakika swalah hii hakufai kitu katika maneno ya watu. Ndani yake mna Tasbiyh, Takbiyr na kusoma Qur-aan.”
Au Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema maneno mfano wa hayo.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Dawr-ul-Mar´ah fiy Iswlaah-il-Mujtama´ https://www.sahab.net/home/?p=806
- Imechapishwa: 02/02/2017
Kuhusu mtu aliyechemua ndani ya swalah. Kisa hicho kimesimuliwa na Mu´aawiyah bin al-Hakam (Radhiya Allaahu ´anh) ambapo kuna mtu alijiunga na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika swalah ambapo akapiga chafya na kusema:
الحمد لله
“Hidmi zote anastahiki Allaah.”
Mu´aawiyah akamwambia:
يرحمك الله
“Allaah akurehemu.”
Watu wakamkazia macho wakiwa ni wenye kumkemea kwa maneno yake. Akasema: “Mna nini mbona mnanitazama namna hiyo?” Wakaanza kupiga mapaja yao. Nilipoona hivo nikanyamaza. Wakati Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipomaliza kuswali akanielekea na kunikaribia na sijawahi kuona hapo kabla wala baada mafunzo yaliyo mazuri kabisa kuliko yake. Ninaapa kwa Allaah! Hakunilazimisha, hakunipiga wala hakunambia vibaya. Alisema: “Hakika swalah hii hakufai kitu katika maneno ya watu. Ndani yake mna Tasbiyh, Takbiyr na kusoma Qur-aan.”
Au Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema maneno mfano wa hayo.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Dawr-ul-Mar´ah fiy Iswlaah-il-Mujtama´ https://www.sahab.net/home/?p=806
Imechapishwa: 02/02/2017
https://firqatunnajia.com/12-mfano-wa-tatu-wa-hekima-ya-mtume-%d8%b5%d9%84%d9%89-%d8%a7%d9%84%d9%84%d9%87-%d8%b9%d9%84%d9%8a%d9%87-%d9%88%d8%b3%d9%84%d9%85/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)