60- ´Amr bin Zaraarah amesema:
“Wakati nilipokuwa nimesimama na napiga visa ´Abdullaah (bi maana Ibn Mas´uud) alisimama mbele yangu akasema: “Ee ´Amr! Hakika wewe ima umezusha Bid´ah potevu au umeongozwa zaidi kuliko Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Maswahabah wake.” Niliona namna watu walivyokimbia mbali nami mpaka nikajiona nimebaki peke yangu.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “ ”al-Mu´jam al-Kabiyr” kwa cheni mbili ambapo moja katika hizo ni Swahiyh[2].
[1] Swahiyh kupitia zengine.
[2] ad-Daarimiy amepokea mfano wake ambayo ni timilifu zaidi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/132)
- Imechapishwa: 27/04/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
60- ´Amr bin Zaraarah amesema:
“Wakati nilipokuwa nimesimama na napiga visa ´Abdullaah (bi maana Ibn Mas´uud) alisimama mbele yangu akasema: “Ee ´Amr! Hakika wewe ima umezusha Bid´ah potevu au umeongozwa zaidi kuliko Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Maswahabah wake.” Niliona namna watu walivyokimbia mbali nami mpaka nikajiona nimebaki peke yangu.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “ ”al-Mu´jam al-Kabiyr” kwa cheni mbili ambapo moja katika hizo ni Swahiyh[2].
[1] Swahiyh kupitia zengine.
[2] ad-Daarimiy amepokea mfano wake ambayo ni timilifu zaidi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/132)
Imechapishwa: 27/04/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/12-hadiyth-hakika-wewe-ima-umezusha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)