3 – Kulipa deni la maiti na mtu yeyote. Ni mamoja mlipaji awe ni walii wake au mtu mwengine. Kumepokelewa Hadiyth nyingi ambazo nyingi katika hizo zimeshatangulia kutajwa katika masuala ya 17.

  • Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz wa Bid´ahaa, uk. 216