Kila mtu ambaye anazua kitu ambacho anajikurubisha kwacho mbele ya Mola Wake – kinachohusiana na imani au matendo ya kimaneno au kivitendo – basi ni mpotevu. Dalili ya hilo ni maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Kila Bid´ah ni upotevu.”[1]
´Kila` hii ni yenye kuenea na haivui kitu kabisa. Kila Bid´ah ndani ya dini ya Allaah ni upotevu na ndani yake hakuna chochote kinachohusiana na haki. Kwani Allaah (Ta´ala) amesema:
فَمَاذَا بَعْدَ الْحَقِّ إِلَّا الضَّلَالُ ۖ فَأَنَّىٰ تُصْرَفُونَ
“Kuna nini baada ya haki isipokuwa upotofu? Basi vipi mnageuzwa?”[2]
[1] Muslim (867).
[2] 10:32
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah fiy-´Aqiydah wal-´Amal, uk. 23
- Imechapishwa: 23/07/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)