Swali 109: Ni kwa nini Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah wameitwa hivo?
Jibu: Ahl-us-Sunnah wameitwa hivo kwa sababu wanazitendea kazi na kulazimiana na Sunnah. Wameitwa al-Jamaa´ah, Mkusanyiko, kwa sababu wamekusanyika na hawatengani. Kwa sababu mfumo wao ni mmoja; Qur-aan na Sunnah. Aidha wamekusanyika juu ya haki na kwa mtawala mmoja. Ni wamoja, wenye kusaidiana na wenye kupendana katika mambo yao yote ya kijumla.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Ajwibah al-Mufiydah ´an As-ilat-il-Manaahij al-Jadiydah, uk. 254
- Imechapishwa: 19/08/2024
- Taaliki: Shaykh Jamaal bin Furahyaan al-Haarithiy
Swali 109: Ni kwa nini Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah wameitwa hivo?
Jibu: Ahl-us-Sunnah wameitwa hivo kwa sababu wanazitendea kazi na kulazimiana na Sunnah. Wameitwa al-Jamaa´ah, Mkusanyiko, kwa sababu wamekusanyika na hawatengani. Kwa sababu mfumo wao ni mmoja; Qur-aan na Sunnah. Aidha wamekusanyika juu ya haki na kwa mtawala mmoja. Ni wamoja, wenye kusaidiana na wenye kupendana katika mambo yao yote ya kijumla.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Ajwibah al-Mufiydah ´an As-ilat-il-Manaahij al-Jadiydah, uk. 254
Imechapishwa: 19/08/2024
Taaliki: Shaykh Jamaal bin Furahyaan al-Haarithiy
https://firqatunnajia.com/109-ni-kwa-nini-ahl-us-sunnah-wal-jamaaah-wameitwa-hivo/