100 – Shurayh bin ´Ubayd alikuwa akisema:
”Kwako hupandishwa sauti ya matukuzo. Kwako yanapanda hadhi ya matakaso. Kutakasika ni Kwako Mwenye ufalme. Mkononi Mwako ndio mna enzi, ufalme, funguo na makadirio.”[1]
Cheni yake ya wapokezi ni Swahiyh.
101 – Ka´b amesema:
”Allaah ametakasika na mapungufu, himdi zote njema anastahiki Allaah, hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah, Allaah ni mkubwa zinaizunguka ´Arshi kama nyuki na zinamtaja yule mwenye kuzitamka.”
102 – Ka´b amesema tena:
”Hakika maneno mazuri yanaizunguka ´Arshi kama azungukavyo nyuki na yanamtaja mwenye nayo.”[2]
Yote mawili yamethibiti kutoka kwa Ka´b al-Ahbaar.
[1] Abush-Shaykh (1/19). Cheni ya wapokezi ni Swahiyh kwa mujibu wa Ibn-ul-Qayyim, uk. 105.
[2] Abu Ja´far bin Abiy Shaybah katika “Kitaab-ul-´Arsh” (2/162 – muswada) kwa cheni mbili ambazo ni Swahiyh.
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-´Uluww lil-´Aliy al-Ghaffaar, uk. 122
- Imechapishwa: 12/07/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
100 – Shurayh bin ´Ubayd alikuwa akisema:
”Kwako hupandishwa sauti ya matukuzo. Kwako yanapanda hadhi ya matakaso. Kutakasika ni Kwako Mwenye ufalme. Mkononi Mwako ndio mna enzi, ufalme, funguo na makadirio.”[1]
Cheni yake ya wapokezi ni Swahiyh.
101 – Ka´b amesema:
”Allaah ametakasika na mapungufu, himdi zote njema anastahiki Allaah, hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah, Allaah ni mkubwa zinaizunguka ´Arshi kama nyuki na zinamtaja yule mwenye kuzitamka.”
102 – Ka´b amesema tena:
”Hakika maneno mazuri yanaizunguka ´Arshi kama azungukavyo nyuki na yanamtaja mwenye nayo.”[2]
Yote mawili yamethibiti kutoka kwa Ka´b al-Ahbaar.
[1] Abush-Shaykh (1/19). Cheni ya wapokezi ni Swahiyh kwa mujibu wa Ibn-ul-Qayyim, uk. 105.
[2] Abu Ja´far bin Abiy Shaybah katika “Kitaab-ul-´Arsh” (2/162 – muswada) kwa cheni mbili ambazo ni Swahiyh.
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-´Uluww lil-´Aliy al-Ghaffaar, uk. 122
Imechapishwa: 12/07/2024
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/103-kama-nyuki-anavyoizunguka-arshi/