La tano: Ni wajibu kuheshimu Sunnah za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), kuziadhimisha na kuzitukuza. Kwani ni maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Ni Wahy kutoka kwa Allaah (Jalla wa ´Alaa):
وَمَا يَنطِقُ عَنِ الْهَوَىٰ إِنْ هُوَ إِلَّا وَحْيٌ يُوحَىٰ
”Hatamki kwa matamanio yake. Hayo ayasemayo si chochote isipokuwa ni Wahy unaofunuliwa kwake.” (an-Najm 53:03-04)
Kwa hivyo ni wajibu kuziheshimu Sunnah za Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Haijuzu kupunguza, kufanyia mzaha au kutukana kitu chochote katika hayo. Yule mwenye kufanya hivyo basi kwa hakika ameritadi kutoka katika Uislamu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 132
- Imechapishwa: 18/12/2018
La tano: Ni wajibu kuheshimu Sunnah za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), kuziadhimisha na kuzitukuza. Kwani ni maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Ni Wahy kutoka kwa Allaah (Jalla wa ´Alaa):
وَمَا يَنطِقُ عَنِ الْهَوَىٰ إِنْ هُوَ إِلَّا وَحْيٌ يُوحَىٰ
”Hatamki kwa matamanio yake. Hayo ayasemayo si chochote isipokuwa ni Wahy unaofunuliwa kwake.” (an-Najm 53:03-04)
Kwa hivyo ni wajibu kuziheshimu Sunnah za Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Haijuzu kupunguza, kufanyia mzaha au kutukana kitu chochote katika hayo. Yule mwenye kufanya hivyo basi kwa hakika ameritadi kutoka katika Uislamu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 132
Imechapishwa: 18/12/2018
https://firqatunnajia.com/100-uwajibu-wa-kuziheshimu-sunnah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)