Mgawanyiko huu wa Tawhiyd katika mafungu matatu ni jambo limechukuliwa kutoka katika Qur-aan na Sunnah. Sio mgawanyiko uliozuliwa kama wanavoona wajinga na wapotevu wa leo:
يُرِيدُونَ لِيُطْفِئُوا نُورَ اللَّـهِ بِأَفْوَاهِهِمْ وَاللَّـهُ مُتِمُّ نُورِهِ وَلَوْ كَرِهَ الْكَافِرُونَ
“Wanataka kuizima nuru ya Allaah kwa midomo yao, lakini Allaah ni Mwenye kuitimiza nuru Yake japokuwa makafiri watachukia.”[1]
Mgawanyiko hautokamani na elimu ya falsafa na kanuni za watu wa mantiki wanaoongea pasi na elimu. Mgawanyiko huu umejengeka juu ya Qur-aan na Sunnah. Aayah zinazozungumzia matendo ya Allaah, majina na sifa Zake ni Tawhiyd-ur-Rubuubiyyah. Aayah zinazozungumzia kwamba ´ibaadah anafanyiwa Allaah pekee ni Tawhiyd-ul-Uluuhiyyah.
[1] 61:08
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: I´aanat-ul-Mustafiyd bi Sharh Kitaab-it-Tawhiyd, uk. 25
- Imechapishwa: 23/07/2019
Mgawanyiko huu wa Tawhiyd katika mafungu matatu ni jambo limechukuliwa kutoka katika Qur-aan na Sunnah. Sio mgawanyiko uliozuliwa kama wanavoona wajinga na wapotevu wa leo:
يُرِيدُونَ لِيُطْفِئُوا نُورَ اللَّـهِ بِأَفْوَاهِهِمْ وَاللَّـهُ مُتِمُّ نُورِهِ وَلَوْ كَرِهَ الْكَافِرُونَ
“Wanataka kuizima nuru ya Allaah kwa midomo yao, lakini Allaah ni Mwenye kuitimiza nuru Yake japokuwa makafiri watachukia.”[1]
Mgawanyiko hautokamani na elimu ya falsafa na kanuni za watu wa mantiki wanaoongea pasi na elimu. Mgawanyiko huu umejengeka juu ya Qur-aan na Sunnah. Aayah zinazozungumzia matendo ya Allaah, majina na sifa Zake ni Tawhiyd-ur-Rubuubiyyah. Aayah zinazozungumzia kwamba ´ibaadah anafanyiwa Allaah pekee ni Tawhiyd-ul-Uluuhiyyah.
[1] 61:08
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: I´aanat-ul-Mustafiyd bi Sharh Kitaab-it-Tawhiyd, uk. 25
Imechapishwa: 23/07/2019
https://firqatunnajia.com/10-hivi-ndivo-wanavosema-wajinga-juu-ya-mgawanyiko-wa-tawhiyd/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)