692- Halafu akapokea kwa mlolongo wa wapokezi Swahiyh kutoka kwa Ibn ´Abbaas aliyesema:
“Nilimwambia Ibn ´Abbaas: “Wanadai kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ogeni siku ya ijumaa, osheni vichwa vyenu hata kama hamna janaba na wala hamkujitia manukato.”
Ibn ´Abbaas akasema:
“Kuhusu manukato sijui, lakini ni kweli kuhusiana na kuoga.”[1]
[1] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket