692- Halafu akapokea kwa mlolongo wa wapokezi Swahiyh kutoka kwa Ibn ´Abbaas aliyesema:
“Nilimwambia Ibn ´Abbaas: “Wanadai kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ogeni siku ya ijumaa, osheni vichwa vyenu hata kama hamna janaba na wala hamkujitia manukato.”
Ibn ´Abbaas akasema:
“Kuhusu manukato sijui, lakini ni kweli kuhusiana na kuoga.”[1]
[1] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
692- Halafu akapokea kwa mlolongo wa wapokezi Swahiyh kutoka kwa Ibn ´Abbaas aliyesema:
“Nilimwambia Ibn ´Abbaas: “Wanadai kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ogeni siku ya ijumaa, osheni vichwa vyenu hata kama hamna janaba na wala hamkujitia manukato.”
Ibn ´Abbaas akasema:
“Kuhusu manukato sijui, lakini ni kweli kuhusiana na kuoga.”[1]
[1] Swahiyh.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
https://firqatunnajia.com/10-hadiyth-ogeni-siku-ya-ijumaa-osheni-vichwa-vyenu/