Swali: Wakati mwingine mtu hapati si maji wala udongo. Afanye nini kama anataka kuswali?
Jibu: Aswali kutegemea na hali yake hata kama itakuwa bila ya kutawadha wala kufanya Tayammum. Hilo lisimfanye kuacha swalah. Amesema (Ta´ala):
فَاتَّقُوا اللَّـهَ مَا اسْتَطَعْتُمْ
“Basi mcheni Allaah muwezavyo.”
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
- Imechapishwa: 24/03/2017
Swali: Wakati mwingine mtu hapati si maji wala udongo. Afanye nini kama anataka kuswali?
Jibu: Aswali kutegemea na hali yake hata kama itakuwa bila ya kutawadha wala kufanya Tayammum. Hilo lisimfanye kuacha swalah. Amesema (Ta´ala):
فَاتَّقُوا اللَّـهَ مَا اسْتَطَعْتُمْ
“Basi mcheni Allaah muwezavyo.”
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
Imechapishwa: 24/03/2017
https://firqatunnajia.com/swalah-bila-ya-wudhuu-wala-tayammum/