9- Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Nilimwona Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema juu ya mimbari: “Itapokuwa siku ya Qiyaamah basi Allaah (´Azza wa Jall) atazikamata mbingu na ardhi zote kwenye mkamato Wake kisha aseme: “Mimi ni Allaah!”[1]
[1] Muslim (2149) na Ibn ´Arafah katika ”al-Juz’” (9).
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 19
- Imechapishwa: 18/06/2019
9- Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Nilimwona Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema juu ya mimbari: “Itapokuwa siku ya Qiyaamah basi Allaah (´Azza wa Jall) atazikamata mbingu na ardhi zote kwenye mkamato Wake kisha aseme: “Mimi ni Allaah!”[1]
[1] Muslim (2149) na Ibn ´Arafah katika ”al-Juz’” (9).
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 19
Imechapishwa: 18/06/2019
https://firqatunnajia.com/10-dalili-ya-tisa-kutoka-katika-sunnah-juu-ya-mikono-ya-allaah/