4 – Tunavyotakiwa kuwajibu Mu´attwilah
Mu´attwilah ni wale wanaokanusha kitu katika majina na sifa za Allaah na wanayapotosha maandiko kutoka katika udhahiri wake. Wanaitwa pia Mu´awwilah. Kanuni iliyoenea ni sisi kuwajibu kwa kusema:
Maneno yao yanaenda kinyume na udhahiri wa maandiko na isitoshe yanaenda kinyume na mfumo wa Salaf. ´Aqiydah yao haina dalili sahihi. Pengine baadhi ya sifa zikawa na wajihi wa nne au zaidi.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´aliyq mukhtaswar ´alaa Lum´at-il-I´tiqaad, uk. 27
- Imechapishwa: 11/10/2022
4 – Tunavyotakiwa kuwajibu Mu´attwilah
Mu´attwilah ni wale wanaokanusha kitu katika majina na sifa za Allaah na wanayapotosha maandiko kutoka katika udhahiri wake. Wanaitwa pia Mu´awwilah. Kanuni iliyoenea ni sisi kuwajibu kwa kusema:
Maneno yao yanaenda kinyume na udhahiri wa maandiko na isitoshe yanaenda kinyume na mfumo wa Salaf. ´Aqiydah yao haina dalili sahihi. Pengine baadhi ya sifa zikawa na wajihi wa nne au zaidi.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ta´aliyq mukhtaswar ´alaa Lum´at-il-I´tiqaad, uk. 27
Imechapishwa: 11/10/2022
https://firqatunnajia.com/09-majibu-kwa-muattwilah/