E- Kuadhibiwa ndani kaburi kwa ajili ya kunywa pombe
Katika zama za Salaf alikuweko bwana mmoja ambaye alikuwa anakunywa mvinyo ambao kuna maoni tofauti juu ya uhalali wake. Akauliwa akiwa shahidi ambapo mtu mmoja akamuota usingizini akiwa amevaa koti la rangi ya kijani. Akaambiwa:
“Allaah amekufanya kitu gani?” Akasema: “Unafikiri atamfanya nini ambaye amekufa shahidi? Amenisamehe na akaniingiza Peponi.” Alipogeuka nikaona alama ya kipigo cha bakora mgongoni mwake. Nikasema: “Simama!” Akasema: “Umeona?” Nikaitika: “Ndio.” Akasema: “Mwambie baba yangu: “Ee mla maangamivu! Ule mvinyo ambao mimi na wewe tulikuwa tukinywa usiunywe! Mpaka mimi ambaye nimekufa hali ya kuwa shahidi sijasalimika kupigwa bakora kwa sababu yake.”[1]
[1] Ibn Abiyd-Dunyaa katika ”Dhamm-ul-Muskir”, uk. 82
- Mhusika: Imaam Zayn-ud-Diyn bin Rajab al-Hanbaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Dhamm-ul-Khamr, uk. 20-21
- Imechapishwa: 26/07/2020
E- Kuadhibiwa ndani kaburi kwa ajili ya kunywa pombe
Katika zama za Salaf alikuweko bwana mmoja ambaye alikuwa anakunywa mvinyo ambao kuna maoni tofauti juu ya uhalali wake. Akauliwa akiwa shahidi ambapo mtu mmoja akamuota usingizini akiwa amevaa koti la rangi ya kijani. Akaambiwa:
“Allaah amekufanya kitu gani?” Akasema: “Unafikiri atamfanya nini ambaye amekufa shahidi? Amenisamehe na akaniingiza Peponi.” Alipogeuka nikaona alama ya kipigo cha bakora mgongoni mwake. Nikasema: “Simama!” Akasema: “Umeona?” Nikaitika: “Ndio.” Akasema: “Mwambie baba yangu: “Ee mla maangamivu! Ule mvinyo ambao mimi na wewe tulikuwa tukinywa usiunywe! Mpaka mimi ambaye nimekufa hali ya kuwa shahidi sijasalimika kupigwa bakora kwa sababu yake.”[1]
[1] Ibn Abiyd-Dunyaa katika ”Dhamm-ul-Muskir”, uk. 82
Mhusika: Imaam Zayn-ud-Diyn bin Rajab al-Hanbaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Dhamm-ul-Khamr, uk. 20-21
Imechapishwa: 26/07/2020
https://firqatunnajia.com/09-kuadhibiwa-ndani-ya-kaburi-kwa-sababu-ya-kunywa-pombe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)