9 – ´Iysaa bin Miynaa’ ametuhadithia: Muhammad bin Ja´far ametuhadithia, kutoka kwa al-´Alaa’, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa Abu Hurayrah, ambaye amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
من صلَّى عليَّ صلى الله عليه عشراً
”Yule mwenye kuniswalia mara moja, basi Allaah atamswalia mara kumi.”[1]
[1] Swahiyh. Hata hivyo kuna maneno machache juu ya Miynaa.
- Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 28
- Imechapishwa: 15/03/2023
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)