Murji-ah al-Fuqahaa´ wanaenda kinyume na Aayah na Hadiyth hizi. Lakini pamoja na hivyo kuna tofauti kati ya wao na wale Murji-ah waliopindukia. Murji-ah al-Fuqahaa´ wanaonelea kuwa kuna khatari ya mtenda madhambi kuadhibiwa na kwamba baadhi yao wataingia Motoni. Katika nukta hii wanakubaliana na Ahl-us-Sunnah. Kwa hakika msiba wao ni msiba kweli, lakini mtu anatakiwa kuwa mwadilifu na awe na inswafu na kuelezea tofauti kubwa iliyoko kati ya wao na Murji-ah waliopundikia. Imani imejengwa juu ya uadilifu na inswafu. Hata kafiri haijuzu kumdhulumu. Hali kadhalika mtu wa Bid´ah.
- Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qurrat-ul-´Aynayn bi Tawdhwiyh Ma´aaniy ´Aqiydat-ir-Raaziyayn, uk. 18
- Imechapishwa: 09/10/2016
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)