Ikiwa mambo ni kama ulivoyajua, lakini pia kuna mengi zaidi ya tunayoyajua, kuwa ni mwenye tahadhari kubwa na ufisadi wa Usaamah bin Laadin na wasaidizi wake tuliyotangulia kuwataja. Kuwa ni mwenye tahadhari kubwa kuwajengea dhana nzuri au kueneza haraka zao. Hakika ya harakati zao zinafanywa katika njia ya Shaytwaan hata kama watadai kuwa ni katika njia ya Allaah. Kinaika ya kwamba wanatetea batili na ufisadi na sio wema na Jihaad. Batili ni ujasiri. Baada ya muda inaanguka na kupotea ilihali watu wake wanafikwa na khasira za Allaah ikiwa hawakutubu kwa Allaah na kujirudi katika nafsi zao katika maisha yao yaliyobaki. Allaah (Ta´ala) Amesema:
فَأَمَّا الزَّبَدُ فَيَذْهَبُ جُفَاءً ۖ وَأَمَّا مَا يَنفَعُ النَّاسَ فَيَمْكُثُ فِي الْأَرْضِ ۚكَذَٰلِكَ يَضْرِبُ اللَّـهُ الْأَمْثَالَ
“Basi povu linapita kama takataka [halifai chochote]. Lakini vile vinavyowafaa watu hubakia ardhini. Hivyo ndivyo Allaah anavyopiga mifano.” (13:17)
- Mhusika: ´Allaamah Zayd bin Muhammad Haadiy al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Waqafaat wa Ma´aalim, uk. 15-16
- Imechapishwa: 13/01/2015
Ikiwa mambo ni kama ulivoyajua, lakini pia kuna mengi zaidi ya tunayoyajua, kuwa ni mwenye tahadhari kubwa na ufisadi wa Usaamah bin Laadin na wasaidizi wake tuliyotangulia kuwataja. Kuwa ni mwenye tahadhari kubwa kuwajengea dhana nzuri au kueneza haraka zao. Hakika ya harakati zao zinafanywa katika njia ya Shaytwaan hata kama watadai kuwa ni katika njia ya Allaah. Kinaika ya kwamba wanatetea batili na ufisadi na sio wema na Jihaad. Batili ni ujasiri. Baada ya muda inaanguka na kupotea ilihali watu wake wanafikwa na khasira za Allaah ikiwa hawakutubu kwa Allaah na kujirudi katika nafsi zao katika maisha yao yaliyobaki. Allaah (Ta´ala) Amesema:
فَأَمَّا الزَّبَدُ فَيَذْهَبُ جُفَاءً ۖ وَأَمَّا مَا يَنفَعُ النَّاسَ فَيَمْكُثُ فِي الْأَرْضِ ۚكَذَٰلِكَ يَضْرِبُ اللَّـهُ الْأَمْثَالَ
“Basi povu linapita kama takataka [halifai chochote]. Lakini vile vinavyowafaa watu hubakia ardhini. Hivyo ndivyo Allaah anavyopiga mifano.” (13:17)
Mhusika: ´Allaamah Zayd bin Muhammad Haadiy al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Waqafaat wa Ma´aalim, uk. 15-16
Imechapishwa: 13/01/2015
https://firqatunnajia.com/08-harakati-katika-njia-ya-shaytwaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)