985- Hudhayfah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza:
“Nilimvuta Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kifuani mwangu ambapo akasema: “Yule mwenye kusema ´hapana mwabudiwa wa haki isipokuwa Allaah` na akafa, ataingia Peponi. Mwenye kufunga siku moja kwa ajili ya Allaah na akafa, ataingia Peponi. Mwenye kutoa swadaqah kwa ajili ya Allaah na akafa, ataingia Peponi.”[1]
Ameipokea Ahmad kwa cheni ya wapokezi isiyokuwa na neno. al-Aswbahaaniy ameipokea vilevile kwa tamko lisemalo:
“Ee Hudhayfah! Mwenye kufunga siku moja kwa ajili ya Allaah (´Azza wa Jall) kisha akafa, basi Allaah atamwingiza Peponi.”[2]
[1] Swahiyh.
[2] Swahiyh kupitia zengine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (01/579)
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
985- Hudhayfah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza:
“Nilimvuta Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kifuani mwangu ambapo akasema: “Yule mwenye kusema ´hapana mwabudiwa wa haki isipokuwa Allaah` na akafa, ataingia Peponi. Mwenye kufunga siku moja kwa ajili ya Allaah na akafa, ataingia Peponi. Mwenye kutoa swadaqah kwa ajili ya Allaah na akafa, ataingia Peponi.”[1]
Ameipokea Ahmad kwa cheni ya wapokezi isiyokuwa na neno. al-Aswbahaaniy ameipokea vilevile kwa tamko lisemalo:
“Ee Hudhayfah! Mwenye kufunga siku moja kwa ajili ya Allaah (´Azza wa Jall) kisha akafa, basi Allaah atamwingiza Peponi.”[2]
[1] Swahiyh.
[2] Swahiyh kupitia zengine.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (01/579)
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/08-hadiyth-yule-mwenye-kusema-hapana-mwabudiwa-wa-haki-isipokuwa-allaah-na-akafa/